WATANO WABATIZWA MTWARA SDA
Kanisa la Waadventista Wasabato la Mtwara mjini limeendelea kukua baada ya kubatiza watu watano katika Sabato ya leo tar 13/12/2014. Ubatizo huo umeendeshwa na Mchungaji Zetti Ndola ambaye ndiye mchungaji wa mtaa wa Mtwara. Ubatizo huo ulifanyika mara baada ya kuhitimishwa kwa juma la uwakili lililokuwa likiendelea kanisani hapo.
![]() |
| Waumini walio jitoa kwa ubatizo |
![]() |
| Picha za waumini walio jitoa |
![]() |
| Mchungaji akiwaapisha waumini kabla ya ubatizo |



No comments
Post a Comment